PICHA 5. Moja ya matanki makubwa yanayopatikana katika mradi mkubwa
wa maji Mingumbi – Miteja, mradi ambao ulitembelewa na wajumbe wa ALAT
na kujionea jinsi unavyofanya kazi tarehe 17 mwezi 8 mwaka 2017.
Mradi wa maji Mingumbi-Miteja unatoa huduma ya maji safi na salama
kwa vijiji sita ambavyo ni Kililima, Naipuli, Tingi, Mtandango, Miteja
na Mingumbi yenyewe, vyenye jumla ya watu 18,120 kutoka katika kaya
3,624.
Kupitia mradi wa maji Mingumbi-Miteja upatikanaji wa maji safi na
salama umeongezeka kwa asilimia 10% kutoka asilimia 48.3% mpaka asilimia
58.3% kufikia juni mwaka huu. |
ConversionConversion EmoticonEmoticon